COMMENTS


Jumamosi, 4 Juni 2016

THE SPIRITUAL WORLD ANGELS AND DEMONS



THE SPIRITUAL WORLD
ANGELS AND DEMONS

Rev:12:7: And there was war in heaven: Michael and his angels fought against the dragon; and the dragon fought and his angels,
Rev:12:8: And prevailed not; neither was their place found any more in heaven.
Rev:12:9: And the great dragon was cast out, that old serpent, called the Devil, and Satan, which deceiveth the whole world: he was cast out into the earth, and his angels were cast out with him.
Rev:12:10: And I heard a loud voice saying in heaven, Now is come salvation, and strength, and the kingdom of our God, and the power of his Christ: for the accuser of our brethren is cast down, which accused them before our God day and night.
Rev:12:11: And they overcame him by the blood of the Lamb, and by the word of their testimony; and they loved not their lives unto the death.
There is a battle which goes on in the spiritual World, between the Kingdom of Heaven and the Kingdom of the Darkness, this battle is aiming at dominating the world of man kind
Reading from Ephesians 6:11
Eph:6:11: Put on the whole armour of God, that ye may be able to stand against the wiles of the devil.
Eph:6:12: For we wrestle not against flesh and blood, but against principalities, against powers, against the rulers of the darkness of this world, against spiritual wickedness in high places.
We see the forces of the kingdom of the darkness, the agents of all troubles to human kind, these are all that we call demons, evilspirit, serpents, scorpions
Luke 10:19
Luk: 10:19: Behold, I give unto you power to tread on serpents and scorpions, and over all the power of the enemy: and nothing shall by any means hurt you.
99% of all human failure and troubles are caused by these spiritual creatures; it may be failure, sickness or anything
Mark 3:11
M'r:3:10: For he had healed many; insomuch that they pressed upon him for to touch him, as many as had plagues.
M'r:3:11: And unclean spirits, when they saw him, fell down before him, and cried, saying, Thou art the Son of God.
M'r:3:12: And he straitly charged them that they should not make him known.

All thanks unto GOD that he deployed angels that stands to fight for us, angels are the spirits that assigned to help man kind and deliver them from all troubles
Psalm 104:4
Psalms:104:4: Who maketh his angels spirits; his ministers a flaming fire:
Heb:1:13: But to which of the angels said he at any time, Sit on my right hand, until I make thine enemies thy footstool?
Heb:1:14: Are they not all ministering spirits, sent forth to minister for them who shall be heirs of salvation?

Angels are ministers that usher to make the sons of GOD in a safe place


Isaiah 60:15-22
Isa:60:15: Whereas thou hast been forsaken and hated, so that no man went through thee, I will make thee an eternal Excellency, a joy of many generations.
Isa:60:16:
Thou shalt also suck the milk of the Gentiles, and shalt suck the breast of kings: and thou shalt know that I the LORD am thy Saviour and thy Redeemer, the mighty One of Jacob.
Isa:60:17:
For brass I will bring gold, and for iron I will bring silver, and for wood brass, and for stones iron: I will also make thy officers peace, and thine exactors righteousness.
Isa:60:18:
Violence shall no more be heard in thy land, wasting nor destruction within thy borders; but thou shalt call thy walls Salvation, and thy gates Praise.
Isa:60:19:
The sun shall be no more thy light by day; neither for brightness shall the moon give light unto thee: but the LORD shall be unto thee an everlasting light, and thy God thy glory.
Isa:60:20:
Thy sun shall no more go down; neither shall thy moon withdraw itself: for the LORD shall be thine everlasting light, and the days of thy mourning shall be ended.
Isa:60:21:
Thy people also shall be all righteous: they shall inherit the land for ever, the branch of my planting, the work of my hands, that I may be glorified.

Isa:60:22:
A little one shall become a thousand and a small one a strong nation: I the LORD will hasten it in his time.
It takes the ministry of an angel to bring you into the fulfillment of GOD promise.
Note: A man was created as a spiritual being living in a flesh and with a soul inside him,genesis 1:26, 2:7
He was created to live in both world, the spiritual word (unseen World) and the physical world (natural world), his origin is a spiritual world, and GOD made him live in the physical world by the laws from the spiritual world,
This is to say he can do nothing without the help from the spiritual world.
That is the reason that angels are so important to cause things to happen in our life, to usher with the angels first we must understand who are they and the spiritual World they are living. Lets quickly fetch some knowledge of the spiritual world which with it we shall be able to know more on the Above topic (Angels and Demons)


THE SPIRITUAL WORLD(THE UNSEEN WORLD)
Hebrew 11:3
Heb:11:3: Through faith we understand that the worlds were framed by the word of God, so that things which are seen were not made of things which do appear.
Reading from the verses above we see that the things we see where not made by the things we see (natural things) but they were made by the unseen things(spiritual things) or in other Words we can say the unseen gave birth to the seen by the Word from GOD
John 1
Joh: 1:1: In the beginning was the Word, and the Word was with God, and the Word was God.
Joh: 1:2: The same was in the beginning with God.
Joh: 1:3: All things were made by him; and without him was not anything made that was made.
So the world we live in is a proceeding of the unseen world, is the photocopy and the end product of the spiritual world, anything we see or touch has its orign in the spirit
2cor 4:18,
2Co:4:18: While we look not at the things which are seen, but at the things which are not seen: for the things which are seen are temporal; but the things which are not seen are eternal.
1cor 15:40,, 44
1Co:15:40: There are also celestial bodies, and bodies terrestrial: but the glory of the celestial is one, and the glory of the terrestrial is another.
1Co:15:44: It is sown a natural body; it is raised a spiritual body. There is a natural body, and there is a spiritual body.

Note that the bible says if there is a physical body then there is a spiritual one
And also if there is a physical World there is a Spiritual world

Lets see how a man and the Earth was Created from the spiritual world
Hebrew 11:3
Heb:11:3: Through faith we understand that the worlds were framed by the word of God, so that things which are seen were not made of things which do appear.
John: 1:1: In the beginning was the Word, and the Word was with God, and the Word was God.
John: 1:2: The same was in the beginning with God.
John: 1:3: All things were made by him; and without him was not anything made that was made.
The verse draws us to the beginning of the bible, The book of Genesis, and in this water of knowledge we shall fetch from the first chapter and the second chapter of the book of genesis
If u look very carefull these chapters u shall discover that they all talk about one thing

CREATION OF MAN AND EARTH
Now the question is why GOD wrote these two chapters with the same theme, was it a mistake? The answer is no GOD does not do mistakes, was it to put much emphasis? The answer is NO, for the word of GOD is perfect pure.
The reason of writing those chapters was to show us the reality of creation,the spiritual world(chapter 1) giving birth to the physical world(chapter 2)
now lets see the first Chapter
genesis 1
Ge:1:1: In the beginning God created the heaven(the sky, the above water) and the earth(dusts,sea,land,mountains).2: And the earth was without form, and void; and darkness was upon the face of the deep.  And the Spirit of God moved upon the face of the waters.
Now we see God creating the heavens and earth in these chapters, when we connect the event with
Hebrew 11:3
Through faith we understand that the worlds were framed by the word of God, so that things which are seen were not made of things which do appear
An authodox Jews bible explain further the event:
Yehudim in mosiach 11:3
“by Emunah(faith) we have binah shomayim v’ha aretz found their “barah” from the dvar Hashem,so that not from anything visible has what we see come into beeng”
This is simply mean that in genesis chapter one GOD created the world(earth from the spirit world) by the things of the spirit
Everything u see mentioned in the first chapter are the spiritual things not the physical ones
Now I want to prove to you that these things where spiritual
Lets take a look at these verses
Ge:1:10: And God called the dry land Earth; and the gathering together of the waters called he Seas: and God saw that it was good.
Ge:1:11: And God said, Let the earth bring forth grass, the herb yielding seed, and the fruit tree yielding fruit after his kind, whose seed is in itself, upon the earth: and it was so.
Ge:1:12: And the earth brought forth grass, and herb yielding seed after his kind, and the tree yielding fruit, whose seed was in itself, after his kind: and God saw that it was good.
Now see again these verses
Ge:2:5: And every plant of the field before it was in the earth, and every herb of the field before it grew: for the LORD God had not caused it to rain upon the earth, and there was not a man to till the ground.
Ge:2:6: But there went up a mist from the earth, and watered the whole face of the ground.
Now u see in the first chapter GOD speaks forth the existence of the grasses and trees and he says it was so
But in the second chapter he says
Ge: 2:5: And every plant of the field before it was in the earth, and every herb of the field before it grew: for the LORD God had not caused it to rain upon the earth, and there was not a man to till the ground.
This is simply mean that the first chapter the earth was created in the spiritual world by the unseen things
“by Emunah(faith) we have binah shomayim v’ha aretz found their “barah” from the dvar Hashem,so that not from anything visible has what we see come into beeng”
Diagram
The earth inside the spiritual World created









THE SPIRITUAL WORLD
EARTH
ANIMALS
TREES
WATER
ADAM
EVERYTHING
BIRDS
HEAVENS
THE SPIRITUAL WORLD
EARTH
The spiritual world copied to the physical
Original of everything
Copy of the original of everything
1Co:15:40: There are also celestial bodies and bodies terrestrial: but the glory of the celestial is one, and the glory of the terrestrial is another.
 



















                                                                                                




I beleave the above diagram will help thee to understand on the formation of the earth
That everything was first created in the spiritual world and be manifested in the physical, that is the reason in the first chapter of genesis we see that dusts is not mentioned but in the second chapter we see dusts of the earth to symbolize that ur now entering into the physical word.
THE CREATION OF MAN
Like others things, Man also was first created as a spiritual being having a soul,we read
Ge:1:26: And God said, Let us make man in our image, after our likeness: and let them have dominion over the fish of the sea, and over the fowl of the air, and over the cattle, and over all the earth, and over every creeping thing that creepeth upon the earth.
Having a foundation of the first chapter of Genesis that it was the creation in the spirit world,we find that a man and a woman were both created in the same day in the spiritual world
Ge:1:27: So God created man in his own image, in the image of God created he him; male and female created he them.
Although they where created differently but in their manifestation into the physical they came as one eve took a part of Adam(the flesh of Eve was inside the flesh of Adam)
Ge:2:21: And the LORD God caused a deep sleep to fall upon Adam and he slept: and he took one of his ribs, and closed up the flesh instead thereof;
Ge:2:22: And the rib, which the LORD God had taken from man, made he a woman, and brought her unto the man.
Ge:2:23: And Adam said, This is now bone of my bones, and flesh of my flesh: she shall be called Woman, because she was taken out of Man.
Note: MAN to WO-MAN:WO-MAN=WOMB MAN(a man with Womb)
now lets go back to genesis 1;26
Ge:1:26: And God said, Let us make man in our image, after our likeness: and let them have dominion over the fish of the sea, and over the fowl of the air, and over the cattle, and over all the earth, and over every creeping thing that creepeth upon the earth.
So GOD created a man as a spiritual being and gave him soul, and in genesis 2 he clothed him with a soil(body) so that he can be seen in natural eyes
Ge:2:7: And the LORD God formed man of the dust of the ground, and breathed into his nostrils the breath of life; and man became a living soul.
Bonus knowledge(Rhema)
Jer:1:5: Before I formed thee in the belly I knew thee; and before thou camest forth out of the womb I sanctified thee, and I ordained thee a prophet unto the nations.
Before GOD formed (clothed thee with flesh) he knew thee(he knew ur future desires and all need),and he created ur need
Joh:1:3: All things were made by him; and without him was not anything made that was made.
Everything was made for you,your provision, your cars, yourhusband, yourwife, your everthing,nothing was left behind.
Now where are these things, provisions?
Eph:1:3: Blessed be the God and Father of our Lord Jesus Christ, who hath blessed us with all spiritual blessings in heavenly places in Christ:
Heb: 11:1: Now faith is the substance of things hoped for, the evidence of things not seen.
All things are there in the spiritual realm inside Jesus Christ, waiting for your faith to manifest
So faith is a force that brings the unseen to the seen world by the word of GOD
This is to say faith is the force of conversion and the word of GOD is a pass code to your blessings
Is like when you go to an ATM machine, an ATM card stands for The word of GOD the ATM machine stands for The spiritual World and a machine that brings out your money stands for Faith
If you don’t have the Word of GOD ( a promise of GOD on the thing u desire) your access to your treasure will be denied.
The word of GOD is the Key to your manifestations must be so filled with the word of GOD to be so filled with provision
3John:1:2: Beloved, I wish above all things that thou mayest prosper and be in health, even as thy soul prosper
now see the above verses he says as thy soul prosper, this is simply means when you in reach your soul with the word of GOD, you gain access to the your treasures in the spiritual relim. Then what is needed is Faith, to convert your treasure in the physical.
Conclusion
So man cannot do anything without the help of the spiritual World.




CHAPTER II
THE WORLD OF ANGELS AND DEMONS




PRAYER POINT FOR SELF DELIVERANCE



PRAYER POINTS ON JUDGEMENT FRIDAY.
LIFE CHRISTIAN MINISTRIES (UZIMA MINISTRIES)
1.     Baba katikajina la YesuninawekawakfumahalhapahuukatikajinalenyeNguvu la Yesu
Father in the name of Jesus I dedicate this place in Jesus Mighty name.
2.     NinatakasaArdhiyaMahalihapanaMazingirayakekwaDamuyaYesuKristo
I sanctify the land of this place and its environment by the blood of Jesus
3.     NinatamkaNurunaUzimamahalihapaKwajina La yesuAliyehai
I speak light and life in this place in Jesus mighty Name
4.     Baba KilaAduianayefuatiliaMaishayangu,kaziyangu,Biasharayangu,ndoaYangu,Shuleyanguahukumiwe Leo kwajina la Yesu.
Father,every Enemy following my life,myJob,myBusness,mymarriage,my studies Be judged today in The name of Jesus
5.     KilarohokutokakuzimuinayofuatiliavyanzovyanguvyaKifedhaikamate Moto Kwajina La Yesu
Every evil spirit following my source of Finance Catch fire in the name of Jesus
6.     KilavioovyaWagangawaKienyejiVinavyoangalianakufuatilifamiliayanguVipasukeKwajina La Yesu.
Every Mirror of witch Doctors be screening my family be broken in Jesus name
7.     NinatamkaUzimakatikaafyayangu,uzimakatikafamiliayangu,uzimakilamahalikatikamaishayangu.
I speak life in my health, life in my family, life in every Area of my life.
8.     Asante Yesu
Thank you Jesus


                                                Prophet Kelvin Raphason
                                                            shalom

ukombozi




UKOMBOZI WA MILKI YAKO NA JINSI YA KUPANUA MIPAKA YAKO KWA NJIA YA KUOMBA.




Angalizo
Tafadhali unaposoma kitini hiki jitahidi sana kufuata na kuomba kila ombi ambalo nimeliainisha ili kupata matokeo yaliyo bora zaidi
Usipige kopy kitini hiki ni vizuri ukakinunua kutoka kwa mwandishi kwa gharama yake ili Mungu akubariki.
















UKOMBOZI WA MILKI YAKO NA JINSI YA KUPANUA MIPAKA YAKO KWA NJIA YA KUOMBA.
Isaya 54:1-3
 Imba, wewe uliye tasa, wewe usiyezaa; paza sauti yako kwa kuimba, piga kelele, wewe usiyekuwa na utungu; maana watoto wake aliyeachwa ni wengi kuliko watoto wake yeye aliyeolewa, asema BWANA. 2Panua mahali pa hema yako, na wayatandaze mapazia ya maskani yako; usiwakataze; ongeza urefu wa kamba zako; vikaze vigingi vya hema yako. 3Kwa maana utaenea upande wa kuume na upande wa kushoto; na wazao wako watawamiliki mataifa; wataifanya miji iliyokuwa ukiwa kukaliwa na watu. 
Tunajua ya kuwa Mungu ametufanya kuwa wafalme na makuhani na ametupa kusudi la kumiliki katika nchi, kumiliki kwetu na kupanuka kwetu hakutatoke tu bila kujifunza ni jinsi gani tunaweza kufanya kutokea
Unaweza ukaona ya kuwa kazi ya kupanua hema na mipaka si kazi ya Mungu bali ni kazi yako mwenyewe na usipochukua hatua kamwe huwezi kufanikiwa
Kuna mambo mengine mungu anasubiri uchukue hatua ili kusudi nay eye apige hatua katika kukusaidia na hi ndiyo sababu ninakuletea muktasari wa somo hili ili yamkini upate ufahamu na uaze kushughulika
Watu wengi wanajua sana andiko hili ufunuo 5:10
Lakini si wote wamefika katika utukufu wa Andiko hili kwa sababu hawajui ni nini kinahitajika ili kufika mahali pa juu.
Kwa kuangalia andiko hilo hapo juu la isaya 54 utaona ya kuwa si Mungu anayekupanulia mipaka bali ni wewe unaye hitajika kupanua mipaka yako,kuna nafasi kubwa bado ya kumiliki kwako na kuna nafasi kubwa kwajili ya kuzaa vitu vya Kiroho.
Mtu anakuwa tasa Kwa sababu ya kuto kuchukua hatua ya imani katika kupanua hema yake na mipaka yake ili mungu aweze kumjaza vitu
Mfano Kama Yule mwanamke wakati wa elisha asingelichukua hatua ya kwenda kuazima vyombo kwa majilani zake maana yake vile alivyonavyo vingekuwa ukomo wa ujazo wake wa kimahitaji

1falme 4
.
Vipi kama petro asingalichukua hatua ya kwenda kumfuata yesu,maana yake angeendeea kuwa mvuvi wa samaki wakati kuna mahali pa juu zaidi ya kwenye biashara ya samaki
Vile ulivyo ni matokeo ya mipaka uliyoiweka mwenyewe,unaweza kwenda mbali na hapo ulipo.


INAANZA NA WEWE KUCHUKUA HATUA
Ni vema kujua Mungu hufanya kazi na watu wa imani
Waebrania 10:38
Hivo usipochukua hatua hawezi kukusaidia,kiasi kile kile unachopanua ndicho kitakachoamua ujazo wako wa Baraka.
Mungu hutumia kipimo kinachoitwa Kadri ili kuleta Ujazo wa vitu maishani mwetu,
Efeso 3:20
20 Basi atukuzwe yeye awezaye kufanya mambo ya ajabu mno kuliko yote tuyaombayo au tuyawazayo, kwa kadiri ya nguvu itendayo kazi ndani yetu; 21naam, atukuzwe katika Kanisa na katika Kristo Yesu hata vizazi vyote vya milele na milele. Amina.
Angalia mstari niliouchora kwa mstari,hii ina maana ya kuwa unahitaji kuchukua hatua ya kuongeza nguvu ndani yako ili kumfanya Mungu atengeneze mambo makubwa katika maisha yako,haiwezekani tu ukakaa ukitegemea Mungu kufaya kitu kwajili yako kabla wewe hujaanza kwanza
Kumbuka Mungu hutumia kipimo kinaitwa Kadili
Luka 6:27-38
37  Msihukumu, nanyi hamtahukumiwa; msilaumu, nanyi hamtalaumiwa; achilieni, nanyi mtaachiliwa. 38Wapeni watu vitu, nanyi mtapewa; kipimo cha kujaa na kushindiliwa, na kusukwa-sukwa hata kumwagika, ndicho watu watakachowapa vifuani mwenu. Kwa kuwa kipimo kile kile mpimacho ndicho mtakachopimiwa.
neno kwa kuwa ni sawa na neno kwa kadili,kwa hiyo ujazo wako wa Umiliki na ujazo wa mipaka yako unategemea sana ni kiasi gani umeipanua hema yako na ni kiasi gani umepanua mipaka yako
mfano kwa mfanya biashara kupata faida kubwa inategemeana na ukubwa wa Biashara yake,lakini Mtu anaye fanya biashara yake Kukua sio mtu mwengine ni wewe mwenyewe kwa kuwekeza bila kuchoka.
Mtuwa Mungu ni Muhimu sana kufahamu kuwa katika ufalme wa Mungu vitu vingi sana huanza na wewe mwenyewe. Mtu mmoja amewahi kuniuliza swali hili,”kwa nini siku hizi simuoni Mungu katika Maisha yangu nina tatizo gani” Kwa mtazamo wake alijua kwa Kuwa mimi ni Nabii basi ningeweza kumwambia kuwa unajua laana za ukoo,au mapepo n.k
Lakini akashangaa ninamfungulia andiko hili
Isaya 55:6-7
6 Mtafuteni BWANA, maadamu anapatikana,
Mwiteni, maadamu yu karibu;
7 Mtu mbaya na aache njia yake,
Na mtu asiye haki aache mawazo yake;
Na amrudie BWANA,
Naye atamrehemu;
Na arejee kwa Mungu wetu,
Naye atamsamehe kabisa.
unaona sasa inaanza na wewe kumtafuta Mungu,mtafute kwa kuwa yeye anapatikana,halafu Muite  maadamu yu karibu inaanza na wewe.

mathayo 7:7-8
7 Ombeni, nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtaona; bisheni, nanyi mtafunguliwa; 8kwa maana kila aombaye hupokea; naye atafutaye huona; naye abishaye atafunguliwa. 
Isaya 60:1-3
Ondoka, uangaze; kwa kuwa nuru yako imekuja,
Na utukufu wa BWANA umekuzukia.
Usipoomba huwezi kupata,usipotafuta huwezi kuona.usipondoka huwezi kuangaza.
Ninarudia tena Mungu hutaka wewe uanze Kwanza kisha yeye atafuata, shidani kuwa watu wengi husubiri Mungu aanze kwanza bila wao kufanya chochote
Unapoanza kwanza unaithibitisha imani yako kwa Mungu,ndio maana wengi hawafanikiwi na muda unakwenda bila kuanza kwanza.
Hata unapohitaji Baraka Mungu hutaka uanze kwanza.
Kutoka 23:25
25Nanyi mtamtumikia BWANA, Mungu wenu, naye atakibarikia chakula chako, na maji yako; nami nitakuondolea ugonjwa kati yako. 26Hapatakuwa na mwenye kuharibu mimba, wala aliye tasa, katika nchi yako; na hesabu ya siku zako nitaitimiza. 27Nitatuma utisho wangu utangulie mbele yako, nami nitawafadhaisha watu wote utakaowafikilia, nami nitawafanya hao adui zako wote wakuonyeshe maungo yao. 28Nami nitapeleka mavu mbele yako, watakaomfukuza Mhivi, na Mkanaani, na Mhiti, watoke mbele yako

Hakuna Dawa nyingine ya kufanikiwa kiMungu isipokuwa umeanza kwa utumishi.
Sasa basi umeona kuwa kila kitu kinahitaji uanze ndipo Mungu afanye,sasa ili kufika unahitaji kupanua hema yako na unahitaji kupanua mipaka yako ili umiliki na kuwa na ujazo wa Baraka zako
Baraka hazina Kikomo.

UNAHITAJI KUWA NA ELIMU YA UKOMBOZI
Si watu wengi wanaelewa hili suala ya kuwa kila kitu kinahitaji ukombozi ili uweze kukimiliki,hii ni kwasababu Dhambi ilimpa shetani ulimwengu huu na kuwa milki yake nan do mana maandiko yanamwita mungu wa dunia hii
Luka 4:5
Akampandisha juu, akamwonyesha milki zote za ulimwengu kwa dakika moja. 6Ibilisi akamwambia, Nitakupa wewe enzi hii yote, na fahari yake, kwa kuwa imo mikononi mwangu, nami humpa ye yote kama nipendavyo. 7Basi, wewe ukisujudu mbele yangu yote yatakuwa yako.

Dhambi ilimpa shetani umiliki wa Dunia hii na hivyo unapookoka maeneo yako hayaokoki mpaka umeyakomboa,nchi yako haiokoki mpaka umeikomboa
Mtu mmoja aliniuliza swali hili “kwa nini watu wa Mataifa wanafanikiwa sana kuliko wana wa Mungu,jibu ni rahisi sana



Luka 4:6
6Ibilisi akamwambia, Nitakupa wewe enzi hii yote, na fahari yake, kwa kuwa imo mikononi mwangu, nami humpa ye yote kama nipendavyo. 7Basi, wewe ukisujudu mbele yangu yote yatakuwa yako
Shetani humpa yeyote anayemsujudia kama anavyopenda mwenyewe kwa kuwa vitu vyote ni milki yake mpaka umevikomboa

Ukombozi ni njia ya kumpokonya shetani uhalali wa Umiliki. Na shetani akijua hili amewafunga wakristo wengi sana katika umasikini kwa kuwa hawaelewi umuhimu wa maombi ya ukombozi,wanadhani ukishaokoka basi ndo umeshapata kila kitu,hapana hiyo sio njia ya kibiblia.
Hii ndio maana
efeso 6:10
Hatimaye, mzidi kuwa hodari katika Bwana na katika uweza wa nguvu zake.11Vaeni silaha zote za Mungu, mpate kuweza kuzipinga hila za Shetani.12Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho. 

Maombi ya ukombozi ni maombi ya nguvu ni maombi ya kukomboa milki,Ardhi mipaka na kila kilicho chako,vitu vingi viko mikononi mwa adui,tunahitaji kuvikomboa.

NAMNA GANI SHETANI ALIPATA HAKI YA KIAGANO YA UMILIKI WA VITU VYETU NA MIPAKA YETU.
Kwanza kabisa nataka ufahamu kuwa vitu vyote unavyoviona havikuwekwa chini ya shetani bali chini ya Mwanadamu
Mungu alimpa mwanadamu kuwa mmiliki halali wa kila kitu katika ulimwengu huu
Mwanzo 1:26
Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi. 27Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba. 28Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi. 29Mungu akasema, Tazama, nimewapa kila mche utoao mbegu, ulio juu ya uso wa nchi yote pia, na kila mti, ambao matunda yake yana mbegu; vitakuwa ndivyo chakula chenu;na chakula cha kila mnyama wa nchi, na cha kila ndege wa angani, na cha kila kitu kitambaacho juu ya nchi, chenye uhai; majani yote ya miche, ndiyo chakula chenu; ikawa hivyo.Mungu akaona kila kitu alichokifanya, na tazama, ni chema sana. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya sita.

Mungu hakuumba vitu kwaajili ya Shetani bali aliumba kwaajili ya mwanadamu,ili avimiliki na kuvitawala. Kwa hiyo kuwepo mikononi mwa shetani ni makosa makubwa sana ambayo yanahitaji sana yarekebishwe.

Mwanzo 1:26
Mungu alihitaji kutengeneza Aina yake itakayo ishi katika uliwengu wa nyama na Damu,na kama Mungu alivyo mfalme wa yote ndivyo mwanadamu atawale na awe mfalme wa vyote katika ulimwengu wa Damu na Nyama.
Na hii aina yake ni mwanadamu. Sasa basi unapoona umiliki wako umekuwa ni umiliki wa Mwingine ambaye hakuwa na haki hapo kwanza,inamuhuzunisha Mungu.

DHAMBI
Kupitia Dhambi shetani alipata nafasi ya kutawala na kumiliki vitu vilivyokuwa chini ya mwanadamu
1 yohana 3:8
atendaye dhambi ni wa Ibilisi; kwa kuwa Ibilisi hutenda dhambi tangu mwanzo. Kwa kusudi hili Mwana wa Mungu alidhihirishwa, ili azivunje kazi za Ibilisi.
Kwa hiyo Dhambi inapofanyika tu shetani anapata umiliki juu yako,juu ya ardhi yako na juu ya mipaka yako,ataingia mpaka ndani ya nyumba yako na kumiliki.
Kuna uhusiano kati yako na mazingira yako na ndio mana unapofanya dhambi wewe katika ulimwengu wa roho inahesabika kuwa na nchi(ardhi) imefanya Dhambi na kwa hiyo shetani anapata mlango wa kumiliki ardhi yako.
Ezekiel 14:12
Neno la BWANA likanijia, kusema, 13Mwanadamu, nchi itakapofanya dhambi na kuniasi, kwa kukosa, nikaunyosha mkono wangu juu yake, na kulivunja tegemeo la chakula chake, na kuipelekea njaa, na kukatilia mbali mwanadamu na mnyama;
Kwa hiyo watu wanapofanya dhambi dhambi yao inaathili nchi yao,na kumpa shetani umiliki.jambo hili humkasirisha Mungu katika namna ambayo ataadhibu kila mtu na mnyama aliyepo katika hilo eneo
Lakini pia si nchi peke yake bali pia shetani hukamata anga lililopo juu yako

2 nyakati 7:13
Nikizifunga mbingu isiwe mvua, tena nikiamuru nzige kula nchi, au nikiwapelekea watu wangu tauni; 14ikiwa watu wangu, walioitwa kwa jina langu, watajinyenyekesha, na kuomba, na kunitafuta uso, na kuziacha njia zao mbaya; basi, nitasikia toka mbinguni, na kuwasamehe dhambi yao, na kuiponya nchi yao.

Unaona athari ya dhambi? Humpa shetani umiliki wa Ardhi hivo ili Mungu hulazimika kuifunga au kuilaani ardhi na kutokana na kuwa ardhi imekamatwa Anga nalo hukamatwa na hivo Mungu hulazimika pia kulifunga Anga
Kwahiyo utaona majira yakibadilika katika maisha yako,Mitiririko ya Kifedha itabadilika,majira ya mvua yatabadilika,na mtililiko maalumu wa mipenyo ya kimaisha itabadilika
Ona
Mwanzo 3:17
Akamwambia Adamu, Kwa kuwa umeisikiliza sauti ya mke wako, ukala matunda ya mti ambao nalikuagiza, nikisema, Usiyale; ardhi imelaaniwa kwa ajili yako; kwa uchungu utakula mazao yake siku zote za maisha yako; 18michongoma na miiba itakuzalia, nawe utakula mboga za kondeni; 19kwa jasho la uso wako utakula chakula, hata utakapoirudia ardhi, ambayo katika hiyo ulitwaliwa; kwa maana u mavumbi wewe, nawe mavumbini utarudi.

Hiyo mistari hapo juu inatupa ufahamu zaidi juu ya uhusiano uliopo kati ya mahitaji yako ya kimwili na Ardhi
Angalia baada ya adamu kufanya dhambi Mungu hashughuliki kumlani Adamu bali anailaani ardhi ambayo kwayo alitolewa.
Na matokeo ya laana hiyo yalileta madhara kwa mwanadamu hata leo.
Kwa hiyo hivo ndivyo mambo yalivyo.

2. MAAGANO
Hii ni namna nyingine shetana anapata umiliki wa mipaka na vizazi,kuna idadi kubwa ya watu ambao wamefanya maagano na shetani kupitia matambiko
Inawezekana ikawa wewe umeokoka lakini huko uliko toka wanafanya Mambo hayo na kwa hiyo unakuwa umeunganishwa katika maagano hayo na hivo mipaka yako na umiliki wako pia unakuwa chini ya Adui
Hautafanikiwa mpaka umeingia katika ukombozi wa milki na mipaka yako.
Waamuzi 2:2
nanyi msifanye agano lo lote na hawa wenyeji wa nchi hii; zipomosheni nchi madhabahu zao; lakini hamkuisikia sauti yangu; je! Mmefanya haya kwa sababu gani? 3Basi kwa ajili ya hayo mimi nilisema zaidi, Mimi sitawafukuza watoke mbele zenu; lakini watakuwa kama miiba mbavuni mwenu, na miungu yao itakuwa ni tanzi kwenu.

Wenyeji wa nchi hii ni mapepo ambayo yalitawala Dunia tangia adamu alipofanya dhambi,kwa hiyo hautakiwi kufanya maagano yoyote nao
Inapotokea ukafanya maagano nayo maandiko yanasema hao mapepo na majini yatakuwa mwiba katika maendeleo yako.
Hautaenea kokote kule.

MANENO YAKO NA MTAZAMO WAKO JUU YA UMILIKI WAKO
Huu ni mlango mwengine na shetani huutumia sana katika kuhakikisha ya kuwa hupati milki yako na hata kama umeokoka maandiko yanasema
Mithali 18:21
Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi;
Na wao waupendao watakula matunda yake.

Mithali 23:7
Maana aonavyo nafsini mwake, ndivyo alivyo

vile unavyojiona nafsini mwako ndivyo ulivyo na ndivyo utakavyokuwa.











JINSI YA KUKOMBOA MILKI YAKO NA MIPAKA YAKO ILI UWEZE KUIPANUA.
sasa basi baada ya kuona ni jinsi Gani Shetani amepata umiliki halali wa Mali ambazo hapo kwanza hazikuwa zake tunaweza kuangalia  sasa ni jinsi Gani ninaweza kukomboa Milki yangu,na kisha nikapanua mipaka yangu kwa njia ya Maombi
Hapa nataka ufahamu tu ya Kuwa unaweza ukawa umeokoka lakini unaishi kwenye mazingira au milki ambayo haijakombolewa na hivyo ukajikuta unashindwa kupanua wigo wako wa kufanikiwa, kumbuka Nabii yohana katika
1yohana 1:2
Mpenzi, naomba ufanikiwe katika mambo yote na kuwa na afya yako kama vile roho yako ifanikiwavyo.
anasema mpenzi naomba ufanikiwe na kuwa na afya njema kama roho yako ifanikiwavyo,maana yake ni kuwa lazima yawepo mahusiano ya ukuaji kati ya roho yako na mazingira yako ya nje,sasa kama roho yako inakuwa na mazingira yako hayakui basi hapo kunatatizo ambalo linahitaji kurekebishwa na njia ya kurekebisha ni kama ifuatavyo.

1.     INGIA KWENYE MAOMBI YA TOBA KWAAJILI YAKO NA YA ARDHI YAKO
Kuna uhusiano mkubwa baina yako na Ardhi yako na hapa ninapozungumza juu ya ardhi ninamaana ya udongo wa eneo unakotokea (Kijijini) na Eneo unalokaa
Nimewahi kukutana na kesi moja ambayo kwa namna ya kawaida haiwezekani kuitatua,kijana mmoja ambaye alikuwa akifanya biashara,alihamia kutoka kwao na kuja Dar es salaam kibiashara,na alipofika akakuta mategemeo yake yamekuwa kinyume,kila alichokuwa akifanya hakifanikiwi,nilipokutana nae nikamuuliza kama amewahi kuomba kwaajili ya makazi yake mapya,akaniambia hapana,nikajua tatizo liko wapi.

Msomaji nataka ujiulize maswali haya mawili makubwa
1.     Kwanini Adamu alipofanya Dhambi Mungu hakumwadhibu Adamu na badala yake akailaani ardhi mwanzo 3:17
Akamwambia Adamu, Kwa kuwa umeisikiliza sauti ya mke wako, ukala matunda ya mti ambao nalikuagiza, nikisema, Usiyale; ardhi imelaaniwa kwa ajili yako; kwa uchungu utakula mazao yake siku zote za maisha yako;18michongoma na miiba itakuzalia, nawe utakula mboga za kondeni;19kwa jasho la uso wako utakula chakula, hata utakapoirudia ardhi, ambayo katika hiyo ulitwaliwa; kwa maana u mavumbi wewe, nawe mavumbini utarudi.

2.     Ukisoma 2nyakati 7:14
Wakati nitakapofunga mbingu ili isiwepo mvua, au nikiamuru nzige kula mazao ya nchi au nikituma tauni miongoni mwa watu wangu, 14kama watu wangu, wanaoitwa kwa jina langu, watajinyenyekesha na kuomba na kuutafuta uso wangu na kuacha njia zao mbaya, basi nitasikia toka mbinguni na kuwasamehe dhambi yao na nitaiponya nchi yao. 15Sasa macho yangu yatafumbuka na masikio yangu yatasikiliza kwa makini maombi yaombwayo mahali hapa.

 Mungu anasema ikiwa watu wake walioitwa Kwa jina lake wakitubu na kuacha dhamb zao Mungu ataponya ardhi yao? Kuna uhusiano gani hapa kati ya maisha ya Mtu na ardhi
Wakati unajiuliza swali hilo nataka uunganishe na mstari huu, popote nyayo zenu zitakapokanyaka hapo nimewapa kuwa milki yenu,kuna uhusiano gani kati ya nyayo zangu na ardhi yangu
Joshua 1:3
Vipi kama nyayo zangu zikikanyaga mahali ambapo mamelaaniwa kutokana na makosa ya wenyeji wa eneo hilo,je nitamiliki kama maandiko yanavyosema?
Mtu wa Mungu kuna muunganiko wa kiungu wa kumiliki kwako au kufanikiwa kwako kupitia nyayo zako,
Ardhi hii unayoikanyaga ndio inayobeba mafanikio yako,kwa kuwa kila unachokiona kwa macho kimetoka ardhini na aridhini kitarudi
Kwa hiyo basi ikiwa utaishi mahali ambapo hapo kwanza ardhi yake iliungamanishwa na maagano ya Kichawi au ulozi jua kabisa yakuwa kama haujapakomboa kupitia maombi ya Toba si rahis sana wewe kuweza kufanikiwa
Kwa kuwa wewe utakuwa umekoka sawa,uchawi hauta kusumbua,lakini huo uchawi utakuwa umebakia katika Ardhi,na hivyo kuzuia kufanikiwa kwako katika eneo hilo.
Utakuwa ukiomba na kuomba lakini hakuna matokeo,
lakini pia ikiwa umetoka kwenu maana yake ni kuwa nyayo zako zimebeba Baraka au laana ya ardhi ya kwenu na ukaja kuishi mahali pengine kama haukujitenganisha na maagano ya kipepo ya kwenu utasababisha hata ardhi hii mpya kuto kuzalia Matunda yanayotakiwa
Hivo basi njia ya kwanza ya kumiliki kwako na kuongezeka kimipaka ni kuingia kwenye maombi ya Toba kwaajili ya Ardhi yako huku ukiruhusu Damu ya Yesu itembee kwenye Hiyo Ardhi.





3.     MFUNGE MWENYE NGUVU
Waefeso 6:12
Kwa maana kushindana kwetu si juu ya nyama na damu, bali dhidi ya falme, mamlaka, dhidi ya wakuu wa giza na majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho

Katika kila eneo au mahali kuna mtawala wake wa eneo hili, Ufalme wa shetani umejipanga vizuri sana na kiakili sana kiasi kuwa kama usipojua kucheza nao utajikuta unazunguka tu na haupigi hatua yoyote
Wakuu wa anga ni mapepo au watu ambao wanatawala anga la eneo hilo,hii ina maana kusema kuwa wameviweka vitu vyote chini yao kama milki yao,hakuna anayeweza kufanikiwa au kuchomoza bila ruhusa yao
Sasa unapoingia kwenye eneo ni lazima Baada ya Toba ingia katika kumfunga Mkuu wa Anga anayetawala katika eneo hilo, kwa kufanya hivo utakuwa umetengeneza njia ya kufanikiwa kimwili na kimaombi.

4.     VUNJA MADHABAHU ZOTE ZA BAHALI
Ingia katika maombi ya kuvunja madhabau za Kipepo, kila mahali ambapo kuna ufalme wa kiroho jua hapo kuna madhabahu za kiroho, kama ni ufalme wa Mungu au ufalme wa giza
Madhabahu ni eneo ambalo huwa ni kiunganishi cha ulimwengu wa roho kuja mwilini au ulimwengu wa mwilini kuja rohoni,ni mahali ambapo panaunganisha Mungu na watu wa eneo au mapepo na watu wa eneo
Katika eneo kukiwa na madhabahu ya kipepo maana yake watu wanaoishi hapo wameunganishwa na kufungamanishwa katika madhabahu hizo,sasa kama wewe unataka kumiliki ni lazima uzivunje madhabahu hizo.

5.     MJENGEE MUNGU WA IBRAHIMU ISAKA NA YAKOBO MADHABAHU
Ukiisha maliza kuvunja basi mjengee mungu Madhabau, Kama ishara ya kuwaunganisha watu na Mungu wao, kumbuka ufunuo 5:10 tumefanywa kuwa wafalme na makuhani, kazi ya kuhani ni hiyo, yaani kuwaunganisha/kuwapatanisha watu na Mungu wao
Kwa hiyo basi ni Muhimu kujenga madhabahu ya Mungu mahali hapo, ninamaana ya kuwa tenga eneo au mahali au chumba ambacho kitakuwa madhabahu yako au mnara wa Mungu, mahali ambapo Mungu atatawala kuanzia hapo mpaka sehemu nyingine za mji.
6.     FANYA MAOMBI YA KUITA NA KUTIISHA MALI NA UTAJIRI
Hii ni muhimu sana,kila kitu kina masikio na kina macho,na vitu vyote hutii kwa mwenye mamlaka ya eneo,hivo basi maombi haya ni maombi ya kuita kwa sauti,ni maombi ya kutiisha kila kitu katika eneo hilo viite vije kwako iambie Ardhi ikutolee matunda,iambie ardhi ikuletee watu ,ninaamini baada ya Maombi hayo utaona upenyo usio wa Kawaida.
7.      LIPE JINA JIPYA ENEO LAKO
Mwanzo 28:18
Yakobo akaondoka asubuhi na mapema, akalitwaa lile jiwe aliloliweka chini ya kichwa chake, akalisimamisha kama nguzo, na kumimina mafuta juu yake. 19Akaita jina la mahali pale Betheli; lakini jina la mji ule hapo kwanza uliitwa Luzu. 
Tangaza katika ulimwengu wa Roho,toa jina jipya kulingana na ufunuo ulionao juu ya eneo lako. Unapo lipa jina eneo maana yake unalivika eneo uwezo flani au nguvu Fulani kulingana na vile unataka



8.     INUKA ANZA KUMILIKI NA KUTAWALA
Isaya 60:1
Ondoka, uangaze; kwa kuwa nuru yako imekuja,
Na utukufu wa BWANA umekuzukia


Ninaimani kuwa baada ya somo hili umetoka hatua kwenda hatua,somo hili ni Muhimu sana ili uweze kufaikiwa,lipo kwaajili ya kuweka katika matendo ili kuona matokeo
Lakini mwisho kabisa ni muhimu kufahamu kuwa ufunuo 5:10 inawahusu wale ambao wameokoka tuu,kama haujampokea Yesu kuwa Mwokozi wako basi fanya hivo leo ili uingie katika jamii ya watawala.
Wasiliana nasi tafadhali au tuma ujumbe mfupi ukiwa na jina lako na mahali unapotoka ili tuweze kukuombea,.

0763712031