"I NOW SEND YOU TO OPEN THEIR EYES IN ORDER TO TURN THEM FROM DARKNESS TO LIGHT AND FROM THE POWER OF SATAN TO GOD.THAT THEY MAY RECEIVE FORGIVNESS OF SINS AND INHERITANCE AMONG THOSE WHO ARE SANTIFIED BY FAITH IN ME” acts 26:18
COMMENTS
Jumapili, 19 Juni 2016
Jumatatu, 13 Juni 2016
Jumamosi, 4 Juni 2016
THE SPIRITUAL WORLD ANGELS AND DEMONS
THE
SPIRITUAL WORLD
ANGELS
AND DEMONS
Rev:12:7:
And there was war in heaven: Michael and his angels fought against the dragon;
and the dragon fought and his angels,
Rev:12:8:
And prevailed not; neither was their place found any more in heaven.
Rev:12:9:
And the great dragon was cast out, that old serpent, called the Devil, and
Satan, which deceiveth the whole world: he was cast out into the earth, and his
angels were cast out with him.
Rev:12:10:
And I heard a loud voice saying in heaven, Now is come salvation, and strength,
and the kingdom of our God, and the power of his Christ: for the accuser of our
brethren is cast down, which accused them before our God day and night.
Rev:12:11:
And they overcame him by the blood of the Lamb, and by the word of their
testimony; and they loved not their lives unto the death.
There is a battle which goes on in the spiritual
World, between the Kingdom of Heaven and the Kingdom of the Darkness, this
battle is aiming at dominating the world of man kind
Reading from Ephesians 6:11
Eph:6:11:
Put on the whole armour of God, that ye may be able to stand against the wiles
of the devil.
Eph:6:12:
For we wrestle not against flesh and blood, but against principalities, against
powers, against the rulers of the darkness of this world, against spiritual
wickedness in high places.
We see the forces of the kingdom of the darkness,
the agents of all troubles to human kind, these are all that we call demons,
evilspirit, serpents, scorpions
Luke 10:19
Luk:
10:19: Behold, I give unto you power to tread on serpents and scorpions, and
over all the power of the enemy: and nothing shall by any means hurt you.
99% of all human failure and troubles are caused
by these spiritual creatures; it may be failure, sickness or anything
Mark 3:11
M'r:3:10:
For he had healed many; insomuch that they pressed upon him for to touch him,
as many as had plagues.
M'r:3:11:
And unclean spirits, when they saw him, fell down before him, and cried,
saying, Thou art the Son of God.
M'r:3:12:
And he straitly charged them that they should not make him known.
All thanks unto GOD that he deployed angels that
stands to fight for us, angels are the spirits that assigned to help man kind
and deliver them from all troubles
Psalm 104:4
Psalms:104:4:
Who maketh his angels spirits; his ministers a flaming fire:
Heb:1:13:
But to which of the angels said he at any time, Sit on my right hand, until I
make thine enemies thy footstool?
Heb:1:14:
Are they not all ministering spirits, sent forth to minister for them who shall
be heirs of salvation?
Angels are ministers that usher to make the sons
of GOD in a safe place
Isaiah 60:15-22
Isa:60:15:
Whereas thou hast been forsaken and hated, so that no man went through thee, I
will make thee an eternal Excellency, a joy of many generations.
Isa:60:16:
Thou
shalt also suck the milk of the Gentiles, and shalt suck the breast of kings:
and thou shalt know that I the LORD am thy Saviour and thy Redeemer, the mighty
One of Jacob.
Isa:60:17:
For
brass I will bring gold, and for iron I will bring silver, and for wood brass,
and for stones iron: I will also make thy officers peace, and thine exactors
righteousness.
Isa:60:18:
Violence
shall no more be heard in thy land, wasting nor destruction within thy borders;
but thou shalt call thy walls Salvation, and thy gates Praise.
Isa:60:19:
The
sun shall be no more thy light by day; neither for brightness shall the moon
give light unto thee: but the LORD shall be unto thee an everlasting light, and
thy God thy glory.
Isa:60:20:
Thy
sun shall no more go down; neither shall thy moon withdraw itself: for the LORD
shall be thine everlasting light, and the days of thy mourning shall be ended.
Isa:60:21:
Thy
people also shall be all righteous: they shall inherit the land for ever, the
branch of my planting, the work of my hands, that I may be glorified.
Isa:60:22:
A
little one shall become a thousand and a small one a strong nation: I the LORD
will hasten it in his time.
It takes the ministry of an angel to bring you
into the fulfillment of GOD promise.
Note: A man was created as a spiritual being
living in a flesh and with a soul inside him,genesis 1:26, 2:7
He was created to live in both world, the
spiritual word (unseen World) and the physical world (natural world), his
origin is a spiritual world, and GOD made him live in the physical world by the
laws from the spiritual world,
This is to say he can do nothing without the help
from the spiritual world.
That is the reason that angels are so important
to cause things to happen in our life, to usher with the angels first we must
understand who are they and the spiritual World they are living. Lets quickly
fetch some knowledge of the spiritual world which with it we shall be able to
know more on the Above topic (Angels and Demons)
THE
SPIRITUAL WORLD(THE UNSEEN WORLD)
Hebrew 11:3
Heb:11:3:
Through faith we understand that the worlds were framed by the word of God, so
that things which are seen were not made of things which do appear.
Reading from the verses above we see that the
things we see where not made by the things we see (natural things) but they were
made by the unseen things(spiritual things) or in other Words we can say the
unseen gave birth to the seen by the Word from GOD
John 1
Joh:
1:1: In the beginning was the Word, and the Word was with God, and the Word was
God.
Joh:
1:2: The same was in the beginning with God.
Joh:
1:3: All things were made by him; and without him was not anything made that
was made.
So the world we live in is a proceeding of the
unseen world, is the photocopy and the end product of the spiritual world,
anything we see or touch has its orign in the spirit
2cor 4:18,
2Co:4:18:
While we look not at the things which are seen, but at the things which are not
seen: for the things which are seen are temporal; but the things which are not
seen are eternal.
1cor 15:40,, 44
1Co:15:40:
There are also celestial bodies, and bodies terrestrial: but the glory of the
celestial is one, and the glory of the terrestrial is another.
1Co:15:44:
It is sown a natural body; it is raised a spiritual body. There is a natural
body, and there is a spiritual body.
Note that the bible says if there is a physical body
then there is a spiritual one
And also if there is a physical World there is a
Spiritual world
Lets
see how a man and the Earth was Created from the spiritual world
Hebrew 11:3
Heb:11:3:
Through faith we understand that the worlds were framed by the word of God, so
that things which are seen were not made of things which do appear.
John:
1:1: In the beginning was the Word, and the Word was with God, and the Word was
God.
John:
1:2: The same was in the beginning with God.
John:
1:3: All things were made by him; and without him was not anything made that
was made.
The verse draws us to the beginning of the bible,
The book of Genesis, and in this water of knowledge we shall fetch from the
first chapter and the second chapter of the book of genesis
If u look very carefull these chapters u shall
discover that they all talk about one thing
CREATION OF MAN AND EARTH
Now the question is why GOD wrote these two
chapters with the same theme, was it a mistake? The answer is no GOD does not
do mistakes, was it to put much emphasis? The answer is NO, for the word of GOD
is perfect pure.
The reason of writing those chapters was to show
us the reality of creation,the spiritual world(chapter 1) giving birth to the
physical world(chapter 2)
now lets see the first Chapter
genesis 1
Ge:1:1: In the beginning God created the heaven(the sky, the above water) and the
earth(dusts,sea,land,mountains).2: And the earth was without form, and
void; and darkness was upon the face of the deep. And the Spirit of God moved upon the face of
the waters.
Now we see God creating the heavens and earth in
these chapters, when we connect the event with
Hebrew 11:3
Through faith we understand that the worlds were
framed by the word of God, so that things which are seen were not made of
things which do appear
An authodox Jews bible explain further the event:
Yehudim in mosiach 11:3
“by
Emunah(faith) we have binah shomayim v’ha aretz found their “barah” from the
dvar Hashem,so that not from anything visible has what we see come into beeng”
This is simply mean that in genesis chapter one
GOD created the world(earth from the spirit world) by the things of the spirit
Everything u see mentioned in the first chapter
are the spiritual things not the physical ones
Now I want to prove to you that these things
where spiritual
Lets take a look at these verses
Ge:1:10:
And God called the dry land Earth; and the gathering together of the waters
called he Seas: and God saw that it was good.
Ge:1:11:
And God said, Let the earth bring forth grass, the herb yielding seed, and the
fruit tree yielding fruit after his kind, whose seed is in itself, upon the
earth: and it was so.
Ge:1:12:
And the earth brought forth grass, and herb yielding seed after his kind, and
the tree yielding fruit, whose seed was in itself, after his kind: and God saw
that it was good.
Now see again these verses
Ge:2:5:
And every plant of the field before it was in the earth, and every herb of the
field before it grew: for the LORD God had not caused it to rain upon the
earth, and there was not a man to till the ground.
Ge:2:6:
But there went up a mist from the earth, and watered the whole face of the
ground.
Now u see in the first chapter GOD speaks forth
the existence of the grasses and trees and he says it was so
But in the second chapter he says
Ge:
2:5: And every plant of the field before it was in the earth, and every herb of
the field before it grew: for the LORD God had not caused it to rain upon the
earth, and there was not a man to till the ground.
This is simply mean that the first chapter the
earth was created in the spiritual world by the unseen things
“by
Emunah(faith) we have binah shomayim v’ha aretz found their “barah” from the
dvar Hashem,so that not from anything
visible has what we see come into beeng”
Diagram
The earth inside the spiritual World created
THE SPIRITUAL WORLD
|
EARTH
|
ANIMALS
|
TREES
|
WATER
|
ADAM
|
EVERYTHING
|
BIRDS
|
HEAVENS
|
THE SPIRITUAL WORLD
|
EARTH
|
The spiritual world copied to the physical
|
Original of everything
|
Copy of the original of everything
|
1Co:15:40:
There are also celestial bodies and bodies terrestrial: but the glory of
the celestial is one, and the glory of the terrestrial is another.
|
I beleave the above
diagram will help thee to understand on the formation of the earth
That everything was
first created in the spiritual world and be manifested in the physical, that is
the reason in the first chapter of genesis we see that dusts is not mentioned
but in the second chapter we see dusts of the earth to symbolize that ur now
entering into the physical word.
THE
CREATION OF MAN
Like others things,
Man also was first created as a spiritual being having a soul,we read
Ge:1:26: And God
said, Let us make man in our image, after our likeness: and let them have
dominion over the fish of the sea, and over the fowl of the air, and over the
cattle, and over all the earth, and over every creeping thing that creepeth
upon the earth.
Having a foundation
of the first chapter of Genesis that it was the creation in the spirit world,we
find that a man and a woman were both created in the same day in the spiritual
world
Ge:1:27: So God
created man in his own image, in the image of God created he him; male and female created he them.
Although they where
created differently but in their manifestation into the physical they came as
one eve took a part of Adam(the flesh of Eve was inside the flesh of Adam)
Ge:2:21: And the
LORD God caused a deep sleep to fall upon Adam and he slept: and he took one of
his ribs, and closed up the flesh instead thereof;
Ge:2:22: And the
rib, which the LORD God had taken from man, made he a woman, and brought her
unto the man.
Ge:2:23: And Adam
said, This is now bone of my bones, and flesh of my flesh: she shall be called
Woman, because she was taken out of Man.
Note:
MAN to WO-MAN:WO-MAN=WOMB MAN(a man with Womb)
now lets go back to
genesis 1;26
Ge:1:26: And God
said, Let us make man in our image, after our likeness: and let them have
dominion over the fish of the sea, and over the fowl of the air, and over the
cattle, and over all the earth, and over every creeping thing that creepeth
upon the earth.
So GOD created a man
as a spiritual being and gave him soul, and in genesis 2 he clothed him with a
soil(body) so that he can be seen in natural eyes
Ge:2:7: And the LORD
God formed man of the dust of the ground, and breathed into his nostrils the
breath of life; and man became a living soul.
Bonus
knowledge(Rhema)
Jer:1:5: Before I
formed thee in the belly I knew thee; and before thou camest forth out of the
womb I sanctified thee, and I ordained thee a prophet unto the nations.
Before GOD formed (clothed
thee with flesh) he knew thee(he knew ur future desires and all need),and he
created ur need
Joh:1:3: All things
were made by him; and without him was not anything made that was made.
Everything was made
for you,your provision, your cars, yourhusband, yourwife, your
everthing,nothing was left behind.
Now where are these
things, provisions?
Eph:1:3: Blessed be
the God and Father of our Lord Jesus Christ, who hath blessed us with all
spiritual blessings in heavenly places in Christ:
Heb: 11:1: Now faith
is the substance of things hoped for, the evidence of things not seen.
All things are there
in the spiritual realm inside Jesus Christ, waiting for your faith to manifest
So faith is a force
that brings the unseen to the seen world by the word of GOD
This is to say faith
is the force of conversion and the word of GOD is a pass code to your blessings
Is like when you go
to an ATM machine, an ATM card stands for The word of GOD the ATM machine
stands for The spiritual World and a machine that brings out your money stands
for Faith
If you don’t have
the Word of GOD ( a promise of GOD on the thing u desire) your access to your
treasure will be denied.
The word of GOD is
the Key to your manifestations must be so filled with the word of GOD to be so
filled with provision
3John:1:2: Beloved,
I wish above all things that thou mayest prosper and be in health, even as thy soul
prosper
now see the above
verses he says as thy soul prosper, this is simply means when you in reach your
soul with the word of GOD, you gain access to the your treasures in the
spiritual relim. Then what is needed is Faith, to convert your treasure in the
physical.
Conclusion
So man cannot do
anything without the help of the spiritual World.
CHAPTER
II
THE
WORLD OF ANGELS AND DEMONS
PRAYER POINT FOR SELF DELIVERANCE
PRAYER
POINTS ON JUDGEMENT FRIDAY.
LIFE
CHRISTIAN MINISTRIES (UZIMA MINISTRIES)
1. Baba katikajina la
YesuninawekawakfumahalhapahuukatikajinalenyeNguvu la Yesu
Father in the name of Jesus I dedicate this place in Jesus Mighty name.
2. NinatakasaArdhiyaMahalihapanaMazingirayakekwaDamuyaYesuKristo
I sanctify the land of this place and its environment by the blood of
Jesus
3. NinatamkaNurunaUzimamahalihapaKwajina
La yesuAliyehai
I speak light and life in this place in Jesus mighty Name
4. Baba KilaAduianayefuatiliaMaishayangu,kaziyangu,Biasharayangu,ndoaYangu,Shuleyanguahukumiwe
Leo kwajina la Yesu.
Father,every Enemy following my life,myJob,myBusness,mymarriage,my
studies Be judged today in The name of Jesus
5. KilarohokutokakuzimuinayofuatiliavyanzovyanguvyaKifedhaikamate
Moto Kwajina La Yesu
Every evil spirit following my source of Finance Catch fire in the name
of Jesus
6. KilavioovyaWagangawaKienyejiVinavyoangalianakufuatilifamiliayanguVipasukeKwajina
La Yesu.
Every Mirror of witch Doctors be screening my family be broken in Jesus
name
7. NinatamkaUzimakatikaafyayangu,uzimakatikafamiliayangu,uzimakilamahalikatikamaishayangu.
I speak life in my health, life in my family, life in every Area of my life.
8. Asante Yesu
Thank you Jesus
Prophet
Kelvin Raphason
ukombozi
UKOMBOZI WA MILKI YAKO NA JINSI YA
KUPANUA MIPAKA YAKO KWA NJIA YA KUOMBA.
Angalizo
Tafadhali unaposoma kitini hiki jitahidi sana
kufuata na kuomba kila ombi ambalo nimeliainisha ili kupata matokeo yaliyo bora
zaidi
Usipige kopy kitini hiki ni vizuri ukakinunua
kutoka kwa mwandishi kwa gharama yake ili Mungu akubariki.
UKOMBOZI WA MILKI YAKO NA JINSI YA
KUPANUA MIPAKA YAKO KWA NJIA YA KUOMBA.
Isaya 54:1-3
Imba, wewe uliye tasa, wewe usiyezaa; paza sauti yako kwa kuimba, piga
kelele, wewe usiyekuwa na utungu; maana watoto wake aliyeachwa ni wengi kuliko
watoto wake yeye aliyeolewa, asema BWANA. 2Panua mahali pa hema yako, na wayatandaze mapazia ya maskani yako;
usiwakataze; ongeza urefu wa kamba zako; vikaze vigingi vya hema yako. 3Kwa maana utaenea upande wa kuume na upande wa kushoto; na wazao wako
watawamiliki mataifa; wataifanya miji iliyokuwa ukiwa kukaliwa na watu.
Tunajua ya kuwa Mungu ametufanya kuwa wafalme na makuhani na
ametupa kusudi la kumiliki katika nchi, kumiliki kwetu na kupanuka kwetu
hakutatoke tu bila kujifunza ni jinsi gani tunaweza kufanya kutokea
Unaweza ukaona ya kuwa kazi ya kupanua hema na mipaka si kazi
ya Mungu bali ni kazi yako mwenyewe na usipochukua hatua kamwe huwezi
kufanikiwa
Kuna mambo mengine mungu anasubiri uchukue hatua ili kusudi
nay eye apige hatua katika kukusaidia na hi ndiyo sababu ninakuletea muktasari
wa somo hili ili yamkini upate ufahamu na uaze kushughulika
Watu wengi wanajua sana andiko hili ufunuo 5:10
Lakini si wote wamefika katika utukufu wa Andiko hili kwa
sababu hawajui ni nini kinahitajika ili kufika mahali pa juu.
Kwa kuangalia andiko hilo hapo juu la isaya 54 utaona ya kuwa
si Mungu anayekupanulia mipaka bali ni wewe unaye hitajika kupanua mipaka yako,kuna
nafasi kubwa bado ya kumiliki kwako na kuna nafasi kubwa kwajili ya kuzaa vitu
vya Kiroho.
Mtu anakuwa tasa Kwa sababu ya kuto kuchukua hatua ya imani
katika kupanua hema yake na mipaka yake ili mungu aweze kumjaza vitu
Mfano
Kama Yule mwanamke wakati wa elisha asingelichukua hatua ya kwenda kuazima
vyombo kwa majilani zake maana yake vile alivyonavyo vingekuwa ukomo wa ujazo
wake wa kimahitaji
1falme
4
.
Vipi kama petro asingalichukua hatua ya kwenda kumfuata
yesu,maana yake angeendeea kuwa mvuvi wa samaki wakati kuna mahali pa juu zaidi
ya kwenye biashara ya samaki
Vile ulivyo ni matokeo ya mipaka uliyoiweka mwenyewe,unaweza
kwenda mbali na hapo ulipo.
INAANZA NA WEWE KUCHUKUA HATUA
Ni vema kujua Mungu hufanya kazi na watu wa imani
Waebrania 10:38
Hivo usipochukua hatua hawezi kukusaidia,kiasi kile kile
unachopanua ndicho kitakachoamua ujazo wako wa Baraka.
Mungu hutumia kipimo kinachoitwa Kadri ili kuleta Ujazo wa
vitu maishani mwetu,
Efeso 3:20
20 Basi atukuzwe yeye awezaye kufanya mambo ya
ajabu mno kuliko yote tuyaombayo au tuyawazayo, kwa kadiri ya nguvu itendayo
kazi ndani yetu; 21naam, atukuzwe katika Kanisa na katika Kristo Yesu hata vizazi vyote vya
milele na milele. Amina.
Angalia mstari niliouchora kwa mstari,hii ina maana ya kuwa unahitaji
kuchukua hatua ya kuongeza nguvu ndani yako ili kumfanya Mungu atengeneze mambo
makubwa katika maisha yako,haiwezekani tu ukakaa ukitegemea Mungu kufaya kitu
kwajili yako kabla wewe hujaanza kwanza
Kumbuka Mungu hutumia kipimo kinaitwa Kadili
Luka
6:27-38
37 Msihukumu, nanyi hamtahukumiwa; msilaumu, nanyi
hamtalaumiwa; achilieni, nanyi mtaachiliwa. 38Wapeni watu vitu, nanyi mtapewa; kipimo cha kujaa na kushindiliwa, na
kusukwa-sukwa hata kumwagika, ndicho watu watakachowapa vifuani mwenu. Kwa
kuwa kipimo kile kile mpimacho ndicho mtakachopimiwa.
neno kwa kuwa ni sawa na neno kwa kadili,kwa hiyo ujazo wako wa Umiliki
na ujazo wa mipaka yako unategemea sana ni kiasi gani umeipanua hema yako na ni
kiasi gani umepanua mipaka yako
mfano kwa mfanya biashara kupata faida kubwa inategemeana na ukubwa wa
Biashara yake,lakini Mtu anaye fanya biashara yake Kukua sio mtu mwengine ni
wewe mwenyewe kwa kuwekeza bila kuchoka.
Mtuwa Mungu ni Muhimu sana kufahamu kuwa katika ufalme wa Mungu vitu
vingi sana huanza na wewe mwenyewe. Mtu mmoja amewahi kuniuliza swali hili,”kwa
nini siku hizi simuoni Mungu katika Maisha yangu nina tatizo gani” Kwa mtazamo
wake alijua kwa Kuwa mimi ni Nabii basi ningeweza kumwambia kuwa unajua laana
za ukoo,au mapepo n.k
Lakini akashangaa ninamfungulia andiko hili
Isaya
55:6-7
6 Mtafuteni
BWANA, maadamu anapatikana,
Mwiteni, maadamu yu karibu;
7 Mtu
mbaya na aache njia yake,
Na mtu asiye haki aache mawazo yake;
Na amrudie BWANA,
Naye atamrehemu;
Na arejee kwa Mungu wetu,
Naye atamsamehe kabisa.
unaona sasa inaanza na
wewe kumtafuta Mungu,mtafute kwa kuwa yeye anapatikana,halafu Muite maadamu yu karibu inaanza na wewe.
mathayo 7:7-8
7 Ombeni, nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtaona;
bisheni, nanyi mtafunguliwa; 8kwa maana kila
aombaye hupokea; naye atafutaye huona; naye abishaye atafunguliwa.
Isaya 60:1-3
Ondoka,
uangaze; kwa kuwa nuru yako imekuja,
Na utukufu wa BWANA umekuzukia.
Usipoomba huwezi
kupata,usipotafuta huwezi kuona.usipondoka huwezi kuangaza.
Ninarudia tena Mungu hutaka wewe uanze Kwanza kisha yeye
atafuata, shidani kuwa watu wengi husubiri Mungu aanze kwanza bila wao kufanya
chochote
Unapoanza kwanza unaithibitisha imani yako kwa Mungu,ndio
maana wengi hawafanikiwi na muda unakwenda bila kuanza kwanza.
Hata unapohitaji Baraka Mungu hutaka uanze kwanza.
Kutoka 23:25
25Nanyi mtamtumikia BWANA, Mungu wenu, naye
atakibarikia chakula chako, na maji yako; nami nitakuondolea ugonjwa kati yako. 26Hapatakuwa na
mwenye kuharibu mimba, wala aliye tasa, katika nchi yako; na hesabu ya siku
zako nitaitimiza. 27Nitatuma utisho wangu utangulie mbele yako,
nami nitawafadhaisha watu wote utakaowafikilia, nami nitawafanya hao adui zako
wote wakuonyeshe maungo yao. 28Nami
nitapeleka mavu mbele yako, watakaomfukuza Mhivi, na Mkanaani, na Mhiti, watoke
mbele yako
Hakuna Dawa nyingine
ya kufanikiwa kiMungu isipokuwa umeanza kwa utumishi.
Sasa basi
umeona kuwa kila kitu kinahitaji uanze ndipo Mungu afanye,sasa ili kufika
unahitaji kupanua hema yako na unahitaji kupanua mipaka yako ili umiliki na
kuwa na ujazo wa Baraka zako
Baraka hazina
Kikomo.
UNAHITAJI KUWA
NA ELIMU YA UKOMBOZI
Si watu wengi
wanaelewa hili suala ya kuwa kila kitu kinahitaji ukombozi ili uweze
kukimiliki,hii ni kwasababu Dhambi ilimpa shetani ulimwengu huu na kuwa milki
yake nan do mana maandiko yanamwita mungu wa dunia hii
Luka 4:5
Akampandisha
juu, akamwonyesha milki zote za ulimwengu kwa dakika moja. 6Ibilisi
akamwambia, Nitakupa wewe enzi hii yote, na fahari yake, kwa kuwa imo mikononi
mwangu, nami humpa ye yote kama nipendavyo. 7Basi, wewe
ukisujudu mbele yangu yote yatakuwa yako.
Dhambi ilimpa
shetani umiliki wa Dunia hii na hivyo unapookoka maeneo yako hayaokoki mpaka
umeyakomboa,nchi yako haiokoki mpaka umeikomboa
Mtu mmoja
aliniuliza swali hili “kwa nini watu wa
Mataifa wanafanikiwa sana kuliko wana wa Mungu,jibu ni rahisi sana
Luka 4:6
6Ibilisi akamwambia, Nitakupa wewe enzi hii yote, na fahari
yake, kwa kuwa imo mikononi mwangu, nami humpa ye yote kama nipendavyo. 7Basi, wewe
ukisujudu mbele yangu yote yatakuwa yako
Shetani humpa
yeyote anayemsujudia kama anavyopenda mwenyewe kwa kuwa vitu vyote ni milki
yake mpaka umevikomboa
Ukombozi ni
njia ya kumpokonya shetani uhalali wa Umiliki. Na shetani akijua hili
amewafunga wakristo wengi sana katika umasikini kwa kuwa hawaelewi umuhimu wa
maombi ya ukombozi,wanadhani ukishaokoka basi ndo umeshapata kila kitu,hapana
hiyo sio njia ya kibiblia.
Hii ndio maana
efeso 6:10
Hatimaye,
mzidi kuwa hodari katika Bwana na katika uweza wa nguvu zake.11Vaeni silaha
zote za Mungu, mpate kuweza kuzipinga hila za Shetani.12Kwa maana
kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka,
juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa
roho.
Maombi ya ukombozi ni
maombi ya nguvu ni maombi ya kukomboa milki,Ardhi mipaka na kila kilicho
chako,vitu vingi viko mikononi mwa adui,tunahitaji kuvikomboa.
NAMNA GANI SHETANI ALIPATA HAKI YA KIAGANO YA
UMILIKI WA VITU VYETU NA MIPAKA YETU.
Kwanza kabisa nataka
ufahamu kuwa vitu vyote unavyoviona havikuwekwa chini ya shetani bali chini ya
Mwanadamu
Mungu alimpa mwanadamu
kuwa mmiliki halali wa kila kitu katika ulimwengu huu
Mwanzo 1:26
Mungu akasema,
Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini,
na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa
kitambaacho juu ya nchi. 27Mungu akaumba
mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke
aliwaumba. 28Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni,
mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na
ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi. 29Mungu akasema,
Tazama, nimewapa kila mche utoao mbegu, ulio juu ya uso wa nchi yote pia, na
kila mti, ambao matunda yake yana mbegu; vitakuwa ndivyo chakula chenu;na
chakula cha kila mnyama wa nchi, na cha kila ndege wa angani, na cha kila kitu
kitambaacho juu ya nchi, chenye uhai; majani yote ya miche, ndiyo chakula
chenu; ikawa hivyo.Mungu akaona kila kitu alichokifanya, na tazama, ni chema
sana. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya sita.
Mungu hakuumba vitu kwaajili ya Shetani bali aliumba kwaajili ya
mwanadamu,ili avimiliki na kuvitawala. Kwa hiyo kuwepo mikononi mwa shetani ni
makosa makubwa sana ambayo yanahitaji sana yarekebishwe.
Mwanzo 1:26
Mungu alihitaji kutengeneza Aina yake itakayo ishi katika uliwengu wa
nyama na Damu,na kama Mungu alivyo mfalme wa yote ndivyo mwanadamu atawale na
awe mfalme wa vyote katika ulimwengu wa Damu na Nyama.
Na hii aina yake ni mwanadamu. Sasa basi unapoona umiliki wako umekuwa
ni umiliki wa Mwingine ambaye hakuwa na haki hapo kwanza,inamuhuzunisha Mungu.
DHAMBI
Kupitia Dhambi shetani alipata nafasi ya kutawala na kumiliki vitu
vilivyokuwa chini ya mwanadamu
1 yohana
3:8
atendaye dhambi ni wa Ibilisi; kwa kuwa Ibilisi
hutenda dhambi tangu mwanzo. Kwa kusudi hili Mwana wa Mungu alidhihirishwa, ili
azivunje kazi za Ibilisi.
Kwa hiyo Dhambi
inapofanyika tu shetani anapata umiliki juu yako,juu ya ardhi yako na juu ya
mipaka yako,ataingia mpaka ndani ya nyumba yako na kumiliki.
Kuna uhusiano kati yako na
mazingira yako na ndio mana unapofanya dhambi wewe katika ulimwengu wa roho
inahesabika kuwa na nchi(ardhi) imefanya Dhambi na kwa hiyo shetani anapata
mlango wa kumiliki ardhi yako.
Ezekiel 14:12
Neno la
BWANA likanijia, kusema, 13Mwanadamu, nchi itakapofanya dhambi na kuniasi, kwa kukosa, nikaunyosha
mkono wangu juu yake, na kulivunja tegemeo la chakula chake, na kuipelekea
njaa, na kukatilia mbali mwanadamu na mnyama;
Kwa hiyo watu wanapofanya dhambi dhambi yao inaathili nchi yao,na kumpa
shetani umiliki.jambo hili humkasirisha Mungu katika namna ambayo ataadhibu
kila mtu na mnyama aliyepo katika hilo eneo
Lakini pia si nchi peke yake bali pia shetani hukamata anga lililopo juu
yako
2 nyakati
7:13
Nikizifunga
mbingu isiwe mvua, tena nikiamuru nzige kula nchi, au nikiwapelekea watu wangu
tauni; 14ikiwa watu wangu, walioitwa kwa jina langu, watajinyenyekesha, na
kuomba, na kunitafuta uso, na kuziacha njia zao mbaya; basi, nitasikia toka
mbinguni, na kuwasamehe dhambi yao, na kuiponya nchi yao.
Unaona athari ya dhambi? Humpa shetani umiliki wa Ardhi hivo ili Mungu
hulazimika kuifunga au kuilaani ardhi na kutokana na kuwa ardhi imekamatwa Anga
nalo hukamatwa na hivo Mungu hulazimika pia kulifunga Anga
Kwahiyo utaona majira yakibadilika katika maisha yako,Mitiririko ya
Kifedha itabadilika,majira ya mvua yatabadilika,na mtililiko maalumu wa mipenyo
ya kimaisha itabadilika
Ona
Mwanzo
3:17
Akamwambia
Adamu, Kwa kuwa umeisikiliza sauti ya mke wako, ukala matunda ya mti ambao
nalikuagiza, nikisema, Usiyale; ardhi imelaaniwa kwa ajili yako; kwa uchungu
utakula mazao yake siku zote za maisha yako; 18michongoma na miiba itakuzalia, nawe utakula mboga za kondeni; 19kwa jasho la uso wako utakula chakula, hata utakapoirudia ardhi, ambayo
katika hiyo ulitwaliwa; kwa maana u mavumbi wewe, nawe mavumbini utarudi.
Hiyo mistari
hapo juu inatupa ufahamu zaidi juu ya uhusiano uliopo kati ya mahitaji yako ya
kimwili na Ardhi
Angalia
baada ya adamu kufanya dhambi Mungu hashughuliki kumlani Adamu bali anailaani
ardhi ambayo kwayo alitolewa.
Na matokeo
ya laana hiyo yalileta madhara kwa mwanadamu hata leo.
Kwa hiyo
hivo ndivyo mambo yalivyo.
2. MAAGANO
Hii ni namna
nyingine shetana anapata umiliki wa mipaka na vizazi,kuna idadi kubwa ya watu
ambao wamefanya maagano na shetani kupitia matambiko
Inawezekana
ikawa wewe umeokoka lakini huko uliko toka wanafanya Mambo hayo na kwa hiyo
unakuwa umeunganishwa katika maagano hayo na hivo mipaka yako na umiliki wako
pia unakuwa chini ya Adui
Hautafanikiwa
mpaka umeingia katika ukombozi wa milki na mipaka yako.
Waamuzi 2:2
nanyi
msifanye agano lo lote na hawa wenyeji wa nchi hii; zipomosheni nchi madhabahu
zao; lakini hamkuisikia sauti yangu; je! Mmefanya haya kwa sababu gani? 3Basi kwa ajili ya hayo mimi nilisema zaidi, Mimi sitawafukuza watoke
mbele zenu; lakini watakuwa kama miiba mbavuni mwenu, na miungu yao itakuwa ni
tanzi kwenu.
Wenyeji wa nchi hii ni mapepo ambayo yalitawala Dunia tangia adamu
alipofanya dhambi,kwa hiyo hautakiwi kufanya maagano yoyote nao
Inapotokea ukafanya maagano nayo maandiko yanasema hao mapepo na majini
yatakuwa mwiba katika maendeleo yako.
Hautaenea kokote kule.
MANENO YAKO NA MTAZAMO WAKO JUU YA UMILIKI WAKO
Huu ni mlango mwengine na shetani huutumia sana katika kuhakikisha ya
kuwa hupati milki yako na hata kama umeokoka maandiko yanasema
Mithali
18:21
Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi;
Na wao waupendao watakula matunda yake.
Mithali
23:7
Maana aonavyo nafsini mwake, ndivyo alivyo
vile unavyojiona nafsini
mwako ndivyo ulivyo na ndivyo utakavyokuwa.
JINSI YA KUKOMBOA MILKI YAKO NA MIPAKA YAKO ILI
UWEZE KUIPANUA.
sasa basi
baada ya kuona ni jinsi Gani Shetani amepata umiliki halali wa Mali ambazo hapo
kwanza hazikuwa zake tunaweza kuangalia
sasa ni jinsi Gani ninaweza kukomboa Milki yangu,na kisha nikapanua
mipaka yangu kwa njia ya Maombi
Hapa nataka
ufahamu tu ya Kuwa unaweza ukawa umeokoka lakini unaishi kwenye mazingira au
milki ambayo haijakombolewa na hivyo ukajikuta unashindwa kupanua wigo wako wa
kufanikiwa, kumbuka Nabii yohana katika
1yohana 1:2
Mpenzi, naomba
ufanikiwe katika mambo yote na kuwa na afya yako kama vile roho yako
ifanikiwavyo.
anasema
mpenzi naomba ufanikiwe na kuwa na afya njema kama roho yako ifanikiwavyo,maana
yake ni kuwa lazima yawepo mahusiano ya ukuaji kati ya roho yako na mazingira
yako ya nje,sasa kama roho yako inakuwa na mazingira yako hayakui basi hapo
kunatatizo ambalo linahitaji kurekebishwa na njia ya kurekebisha ni kama
ifuatavyo.
1.
INGIA KWENYE MAOMBI YA TOBA KWAAJILI
YAKO NA YA ARDHI YAKO
Kuna
uhusiano mkubwa baina yako na Ardhi yako na hapa ninapozungumza juu ya ardhi
ninamaana ya udongo wa eneo unakotokea (Kijijini) na Eneo unalokaa
Nimewahi
kukutana na kesi moja ambayo kwa namna ya kawaida haiwezekani kuitatua,kijana
mmoja ambaye alikuwa akifanya biashara,alihamia kutoka kwao na kuja Dar es
salaam kibiashara,na alipofika akakuta mategemeo yake yamekuwa kinyume,kila
alichokuwa akifanya hakifanikiwi,nilipokutana nae nikamuuliza kama amewahi
kuomba kwaajili ya makazi yake mapya,akaniambia hapana,nikajua tatizo liko
wapi.
Msomaji
nataka ujiulize maswali haya mawili makubwa
1. Kwanini Adamu alipofanya Dhambi Mungu
hakumwadhibu Adamu na badala yake akailaani ardhi mwanzo 3:17
Akamwambia Adamu, Kwa kuwa umeisikiliza sauti ya mke wako, ukala matunda
ya mti ambao nalikuagiza, nikisema, Usiyale; ardhi imelaaniwa kwa ajili yako;
kwa uchungu utakula mazao yake siku zote za maisha yako;18michongoma na miiba itakuzalia, nawe utakula mboga za kondeni;19kwa jasho la uso wako utakula chakula, hata utakapoirudia ardhi, ambayo
katika hiyo ulitwaliwa; kwa maana u mavumbi wewe, nawe mavumbini utarudi.
2. Ukisoma 2nyakati 7:14
Wakati nitakapofunga mbingu ili isiwepo mvua, au nikiamuru nzige kula
mazao ya nchi au nikituma tauni miongoni mwa watu wangu, 14kama watu wangu, wanaoitwa kwa jina
langu, watajinyenyekesha na kuomba na kuutafuta uso wangu na kuacha njia zao
mbaya, basi nitasikia toka mbinguni na kuwasamehe dhambi yao na nitaiponya nchi
yao. 15Sasa macho yangu
yatafumbuka na masikio yangu yatasikiliza kwa makini maombi yaombwayo mahali
hapa.
Mungu anasema ikiwa watu wake
walioitwa Kwa jina lake wakitubu na kuacha dhamb zao Mungu ataponya ardhi yao?
Kuna uhusiano gani hapa kati ya maisha ya Mtu na ardhi
Wakati
unajiuliza swali hilo nataka uunganishe na mstari huu, popote nyayo zenu
zitakapokanyaka hapo nimewapa kuwa milki yenu,kuna uhusiano gani kati ya nyayo
zangu na ardhi yangu
Joshua 1:3
Vipi kama
nyayo zangu zikikanyaga mahali ambapo mamelaaniwa kutokana na makosa ya wenyeji
wa eneo hilo,je nitamiliki kama maandiko yanavyosema?
Mtu wa Mungu
kuna muunganiko wa kiungu wa kumiliki kwako au kufanikiwa kwako kupitia nyayo
zako,
Ardhi hii
unayoikanyaga ndio inayobeba mafanikio yako,kwa kuwa kila unachokiona kwa macho
kimetoka ardhini na aridhini kitarudi
Kwa hiyo
basi ikiwa utaishi mahali ambapo hapo kwanza ardhi yake iliungamanishwa na
maagano ya Kichawi au ulozi jua kabisa yakuwa kama haujapakomboa kupitia maombi
ya Toba si rahis sana wewe kuweza kufanikiwa
Kwa kuwa
wewe utakuwa umekoka sawa,uchawi hauta kusumbua,lakini huo uchawi utakuwa
umebakia katika Ardhi,na hivyo kuzuia kufanikiwa kwako katika eneo hilo.
Utakuwa
ukiomba na kuomba lakini hakuna matokeo,
lakini pia
ikiwa umetoka kwenu maana yake ni kuwa nyayo zako zimebeba Baraka au laana ya
ardhi ya kwenu na ukaja kuishi mahali pengine kama haukujitenganisha na maagano
ya kipepo ya kwenu utasababisha hata ardhi hii mpya kuto kuzalia Matunda
yanayotakiwa
Hivo basi
njia ya kwanza ya kumiliki kwako na kuongezeka kimipaka ni kuingia kwenye
maombi ya Toba kwaajili ya Ardhi yako huku ukiruhusu Damu ya Yesu itembee
kwenye Hiyo Ardhi.
3.
MFUNGE MWENYE NGUVU
Waefeso 6:12
Kwa maana kushindana
kwetu si juu ya nyama na damu, bali dhidi ya falme, mamlaka, dhidi ya wakuu wa
giza na majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho
Katika kila
eneo au mahali kuna mtawala wake wa eneo hili, Ufalme wa shetani umejipanga
vizuri sana na kiakili sana kiasi kuwa kama usipojua kucheza nao utajikuta
unazunguka tu na haupigi hatua yoyote
Wakuu wa
anga ni mapepo au watu ambao wanatawala anga la eneo hilo,hii ina maana kusema
kuwa wameviweka vitu vyote chini yao kama milki yao,hakuna anayeweza kufanikiwa
au kuchomoza bila ruhusa yao
Sasa
unapoingia kwenye eneo ni lazima Baada ya Toba ingia katika kumfunga Mkuu wa
Anga anayetawala katika eneo hilo, kwa kufanya hivo utakuwa umetengeneza njia
ya kufanikiwa kimwili na kimaombi.
4.
VUNJA MADHABAHU ZOTE ZA BAHALI
Ingia katika
maombi ya kuvunja madhabau za Kipepo, kila mahali ambapo kuna ufalme wa kiroho
jua hapo kuna madhabahu za kiroho, kama ni ufalme wa Mungu au ufalme wa giza
Madhabahu ni
eneo ambalo huwa ni kiunganishi cha ulimwengu wa roho kuja mwilini au ulimwengu
wa mwilini kuja rohoni,ni mahali ambapo panaunganisha Mungu na watu wa eneo au
mapepo na watu wa eneo
Katika eneo
kukiwa na madhabahu ya kipepo maana yake watu wanaoishi hapo wameunganishwa na
kufungamanishwa katika madhabahu hizo,sasa kama wewe unataka kumiliki ni lazima
uzivunje madhabahu hizo.
5.
MJENGEE MUNGU WA IBRAHIMU ISAKA NA
YAKOBO MADHABAHU
Ukiisha
maliza kuvunja basi mjengee mungu Madhabau, Kama ishara ya kuwaunganisha watu
na Mungu wao, kumbuka ufunuo 5:10 tumefanywa kuwa wafalme na makuhani, kazi ya
kuhani ni hiyo, yaani kuwaunganisha/kuwapatanisha watu na Mungu wao
Kwa hiyo
basi ni Muhimu kujenga madhabahu ya Mungu mahali hapo, ninamaana ya kuwa tenga
eneo au mahali au chumba ambacho kitakuwa madhabahu yako au mnara wa Mungu,
mahali ambapo Mungu atatawala kuanzia hapo mpaka sehemu nyingine za mji.
6.
FANYA MAOMBI YA KUITA NA KUTIISHA
MALI NA UTAJIRI
Hii ni
muhimu sana,kila kitu kina masikio na kina macho,na vitu vyote hutii kwa mwenye
mamlaka ya eneo,hivo basi maombi haya ni maombi ya kuita kwa sauti,ni maombi ya
kutiisha kila kitu katika eneo hilo viite vije kwako iambie Ardhi ikutolee
matunda,iambie ardhi ikuletee watu ,ninaamini baada ya Maombi hayo utaona
upenyo usio wa Kawaida.
7.
LIPE JINA JIPYA ENEO LAKO
Mwanzo 28:18
Yakobo
akaondoka asubuhi na mapema, akalitwaa lile jiwe aliloliweka chini ya kichwa
chake, akalisimamisha kama nguzo, na kumimina mafuta juu yake. 19Akaita jina la mahali pale Betheli; lakini jina la mji ule hapo
kwanza uliitwa Luzu.
Tangaza
katika ulimwengu wa Roho,toa jina jipya kulingana na ufunuo ulionao juu ya eneo
lako. Unapo lipa jina eneo maana yake unalivika eneo uwezo flani au nguvu Fulani
kulingana na vile unataka
8.
INUKA ANZA KUMILIKI NA KUTAWALA
Isaya 60:1
Ondoka, uangaze; kwa kuwa nuru yako imekuja,
Na utukufu wa BWANA umekuzukia
Ninaimani kuwa baada ya somo hili
umetoka hatua kwenda hatua,somo hili ni Muhimu sana ili uweze kufaikiwa,lipo
kwaajili ya kuweka katika matendo ili kuona matokeo
Lakini mwisho kabisa ni muhimu
kufahamu kuwa ufunuo 5:10 inawahusu wale ambao wameokoka tuu,kama haujampokea
Yesu kuwa Mwokozi wako basi fanya hivo leo ili uingie katika jamii ya watawala.
Wasiliana nasi tafadhali au tuma
ujumbe mfupi ukiwa na jina lako na mahali unapotoka ili tuweze kukuombea,.
0763712031
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)